Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Napoli usiku wa Jumatano Uwanja wa San Paolo mjini Napoli, Italia katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya na kuvunja rekodi ya kufunga mabao mengi kihistoria katika timu hiyo iliyowekwa na Eric Brook aliyefunga mabao 177 miaka ya 1930. Mabao mengine ya City yamefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 34, John Stones dakika ya 48 na Raheem Sterling dakika ya 90 na ushei, wakati ya Napoli yamefungwa na Lorenzo Insigne dakika ya 21 na Jorginho kwa penalti dakika ya 62 kufuatia Leroy Sane kumchezea rafy Raul Albiol kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Captain fantastic Bruno Fernandes is Man United's own superhero... the new
era at Old Trafford must be built around their Portuguese superstar, writes
NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: Man United have their very own superhero in captain Bruno
Fernandes and INEOS must ensure the team of the future is built around him
starting ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment