Gonzalo Higuain akiifungia Juventus bao la kusawazisha dakika ya 79 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Sporting Lisbon walitangulia kwa bao la Bruno Cesar dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Kerr: 'A Lot of Value' in Keeping Steph, Klay, Draymond Together
'For Life'
-
After the Golden State Warriors' season-ending play-in tournament loss to
the Sacramento Kings on Tuesday, head coach Steve Kerr expressed the
importance of…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment