• HABARI MPYA

    Thursday, November 09, 2017

    BEN POL BAADA YA KUWASILI UFARANSA KUSHIRIKI MAUA NA NDOTO

    Msanii wa muziki wa Bongo Flena, Benard Paul ‘Ben Pol’ akiwa mjini Paris, Ufaransa baada ya kuwasili juzi kwa ajili ya kuhudhuria hafla maalum ya MAUA Association pamoja na uzinduzi wa Filamu ya NDOTO utakaofanyika Novemba 18, mwaka huu mjini humo
     
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEN POL BAADA YA KUWASILI UFARANSA KUSHIRIKI MAUA NA NDOTO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top