Beki wa kushoto, Layvin Kurzawa akishangilia baada ya kuifungia PSG mabao matatu peke yake dakika za 52, 72 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Marco Verratti dakika ya 30 na Neymar Junior dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Giants May Draft Michael Penix Jr. at 6 Amid Drake Maye,
McCarthy Buzz
-
The New York Giants may have zeroed in on two targets for their quarterback
of the future. Dan Graziano of ESPN reported the Giants' favorite
quarterback in…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment