• HABARI MPYA

    Wednesday, November 01, 2017

    BAYERN MUNICH YASHINDA UGENINI, YAILAZA CELTIC 2-1

    Kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nahodha wa Celtic, Scott Brown katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana usiku Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland. Bayern Munich ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kingsley Coman dakika ya 22 and Javi Martinez dakika ya 77, wakati la Celtic lilifungwa na Callum McGregor dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAYERN MUNICH YASHINDA UGENINI, YAILAZA CELTIC 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top