Kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nahodha wa Celtic, Scott Brown katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana usiku Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland. Bayern Munich ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kingsley Coman dakika ya 22 and Javi Martinez dakika ya 77, wakati la Celtic lilifungwa na Callum McGregor dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment