Kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nahodha wa Celtic, Scott Brown katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana usiku Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland. Bayern Munich ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kingsley Coman dakika ya 22 and Javi Martinez dakika ya 77, wakati la Celtic lilifungwa na Callum McGregor dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment