Daley Blind akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester United, Scott McTominay (kulia) na mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto), baada ya kufunga kwa bao la pili kwa penalti 78 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza Benfica walijifunga kupitia kwa kipa wao, Mile Svilar dakika ya 45 kufuatia shuti la Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reggie Bush is REINSTATED as 2005 Heisman Trophy winner, with organizers
citing NIL rule changes two decades after he accepted money and gifts at USC
-
Reggie Bush was reinstated as the 2005 Heisman Trophy winner on Wednesday,
as the award's organizers cited fundamental changes in the structure of
college ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment