Daley Blind akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester United, Scott McTominay (kulia) na mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto), baada ya kufunga kwa bao la pili kwa penalti 78 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza Benfica walijifunga kupitia kwa kipa wao, Mile Svilar dakika ya 45 kufuatia shuti la Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment