Kiungo chipukizi wa Arsenal, Reiss Nelson akimtoka mshambuliaji Mserbia wa Red Star Belgrade, Nemanja Radonjic (kushoto) katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Pamoja na matokeo hayo, Arsenal imefuzu hatua ya mtoano kwa kufikisha pointi 10, ikiwazidi kwa pointi tano Crvena Zvezda zikiwa zimebaki mechi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Seahawks' Sam Howell Says He's 'Got to Be Smarter' with INTs After
Commanders Trade
-
Seattle Seahawks quarterback Sam Howell said he has "got to be smarter"
after throwing a NFL-high 21 interceptions for the Washington Commanders
last season.…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment