Kiungo chipukizi wa Arsenal, Reiss Nelson akimtoka mshambuliaji Mserbia wa Red Star Belgrade, Nemanja Radonjic (kushoto) katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Pamoja na matokeo hayo, Arsenal imefuzu hatua ya mtoano kwa kufikisha pointi 10, ikiwazidi kwa pointi tano Crvena Zvezda zikiwa zimebaki mechi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal boss Mikel Arteta hails 'fighting spirit' of Gabriel Jesus - and
highlights the one quality his team need to exploit from the striker
-
Mikel Arteta has backed the 'unbelievable' Gabriel Jesus to use his
fighting spirit and give Arsenal a different attacking dimension ahead of
his 100th clu...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment