• HABARI MPYA

    Friday, November 03, 2017

    ARSENAL YAFUZU HATUA MTOANO EUROPA LEAGUE

    Kiungo chipukizi wa Arsenal, Reiss Nelson akimtoka mshambuliaji Mserbia wa Red Star Belgrade, Nemanja Radonjic (kushoto) katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Pamoja na matokeo hayo, Arsenal imefuzu hatua ya mtoano kwa kufikisha pointi 10, ikiwazidi kwa pointi tano Crvena Zvezda zikiwa zimebaki mechi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAFUZU HATUA MTOANO EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top