Mohamed Salah akiwa juu kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Maribor usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 64 Daniel Sturridge dakika ya 90 wakati kipa wa Maribor, Jasmin Handanovic alicheza penalti ya James Milner dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA fines Nuggets coach David Adelman $35K for erupting at officials,
ejection in loss to Rockets
-
David Adelman charged at an official and screamed, “You are f***ing
terrible, man!” loud enough to be heard clearly on the broadcast on
Saturday night.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment