Cristiano Ronaldo akimpongeza Casemiro baada ya kuifungia Mbrazil huyo kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 68 ikiilaza 2-1 Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria, Bilbao. Karim Benzema alianza kuifungia timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane dakika ya 25, kabla ya Aritz Adruriz kuwasawazishia wenyeji dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou names the four now-top stars he wanted to sign for
Tottenham - and brutally says: 'We ended up with Dom Solanke and three
teenagers'
-
Postecoglou was talking on the Overlap's Stick to Football podcast after
Spurs sacked Thomas Frank, and his words rang like a warning to the next
man settl...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment