Winga wa Leicester City, Riyad Mahrez akijaribu kuwapita wachezaji wa West Ham leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa London. Leicester imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Mahrez dakika ya tano, Robert Huth dakika ya saba na Jamie Vardy dakika ya 38, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manuel Lanzini dakika ya 20 na Andre Ayew dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWS OF THE WEEK: Daniel Radcliffe reveals reason he quit smoking
-
The Harry Potter star had smoked cigarettes "pretty heavily" for two
decades before finally ditching the habit thanks to a self-help book. Asked
whether th...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment