Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika dakika za 24 na 64 kwenye ushindi wa 5-0 dhidi ya Celta Vigo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp usiku wa jana. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Neymar Junior dakika ya 40, Ivan Rakitic dakika ya 57 na Samuel Umtiti dakika ya 61. Ushindi huo unairudisha kileleni mwa La Liga Barca ikifikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 26, mbele ya Real Madrid yenye pointi 59 za mechi 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CBS News delays 60 Minutes segment featuring investigation into El
Salvador’s Cecot megaprison
-
Backlash after broadcaster announces the program, due to air on Sunday
night, ‘needs additional reporting’
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment