Roberto Firmino akipiga hesabu za kumtoka Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kumuacha chini beki Shokdran Mustafi wa Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Roberto Firmino dakika ya tisa Sadio Mane dakika ya 40 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei wakati la Arsenal limefungwa na Danny Welbeck dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stefon Diggs sneaks out of blue medical tent to avoid in-game exam as
Patriots clinch playoff berth vs Ravens
-
New England Patriots wide receiver Stefon Diggs did not want to leave the
game against the Baltimore Ravens and tried his best to avoid being
medically exa...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment