Refa akimuhesabia David Haye aliyeketi kulia baada ya ngumi za mpinzani wake, Tony Bellew katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 Arena mjini London. Bellew alishinda kwa Technical Knockout (KO) raundi ya 11 na Haye aliyeumia mguu mwanzoni mwa pambano jambo lililomsababishia kipigo kikali jana, alikimbizwa hospitali baada ya pambano hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'There's a lot of room for improvement' - Allen
-
Mark Allen says the second session against Robbie Williams was a 'bit of a
struggle' as he won 10-6 in the first round at the World Championship.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment