Gary Cahill (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 87 ikiwafunga wenyeji, Stoke City 2-1 Uwanja wa Bet365 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kupaa kileleni kwa pointi 13 zaidi. Willian alianza kuifungia Chelsea dakika ya 13, kabla ya Jonathan Walters kuisawazishia Stoke kwa penalti dakika ya 38, kufuatia Cahill kucheza faulo kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heisman voter reveals sickening racist attacks after sharing his picks for
prestigious college football prize
-
The prestigious award, given to the year's standout player in college
football, was won by Indiana quarterback Fernando Mendoza on Saturday night.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment