Kelechi Iheanacho akishangilia baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Sergio Aguero usiku wa jana na kuifungia Manchester City bao la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 30, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 35 na dakika ya 73 na Pablo Zabaleta dakika ya 38, wakati la Huddersfield lilifungwa na Harry Bunn dakika ya saba na City sasa itakutana na Middlesbrough kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wheatley reacts to historic 'honour'
-
See what 18-year-old Ethan said, after becoming the club's 250th player to
graduate from the Academy.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment