Kelechi Iheanacho akishangilia baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Sergio Aguero usiku wa jana na kuifungia Manchester City bao la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 30, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 35 na dakika ya 73 na Pablo Zabaleta dakika ya 38, wakati la Huddersfield lilifungwa na Harry Bunn dakika ya saba na City sasa itakutana na Middlesbrough kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How England pace ace Jofra Archer rammed criticism about pillows and chains
from Aussie 'greats' back down their throats with fiery bowling in Adelaide
-
Among the many brickbats hurled England's way has been the absence of an
attack leader. But on the first day of the third Test, that role fell on
the shoul...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment