• HABARI MPYA

    Thursday, March 02, 2017

    KELECHI ATOKEA BENCHI NA KUPIGA LA TANO MAN CITY IKIUA 5-1 FA

    Kelechi Iheanacho akishangilia baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Sergio Aguero usiku wa jana na kuifungia Manchester City bao la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 30, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 35 na dakika ya 73 na Pablo Zabaleta dakika ya 38, wakati la Huddersfield lilifungwa na Harry Bunn dakika ya saba na City sasa itakutana na Middlesbrough kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KELECHI ATOKEA BENCHI NA KUPIGA LA TANO MAN CITY IKIUA 5-1 FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top