Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akimtungua kipa wa Sporting Gijon, Ivan Cuellar kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya tisa katika ushindi wa 6-1 kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Juan Rodriguez aliyejifunga dakika ya 11, Luis Suarez dakika ya 27, Francisco 'Paco' Alcacer dakika ya 49, Neymar Junior dakika ya 65 na Ivan Rakitic dakika ya 87, wakati la Sporting Gijon lilifungwa na Carlos Castro García dakika ya 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OLIVER HOLT: Alex Carey's cynical opportunism may just have cost England
the Ashes - will he get the same reception Stuart Broad did for not
walking? Yeah, right
-
Alex Carey has become a quite exceptional player. If it weren't for
Mitchell Starc, he could be the player of the series. For all that, he
discovered what ...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment