• HABARI MPYA

    Thursday, March 02, 2017

    JOHN BARNES ATUA TANZANIA, AKABIDHIWA JEZI YA STARS

    Mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa England na klabu ya Livepool, John Barnes (katikati) akiwa ameshika jezi ya timu ya taifa ya Tanzania baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam leo kwa ajili ya maazimisho ya miaka 100 ya benki ya Standard Chartered ambayo ni wadhamini wakuu wa klabu ya Liverpool.
    Barnes ambaye hii ni zaidi ya mara ya tatu anakuja Tanzania kwa shughuli mbalimbali za kijamii, hapa anazungumza na Waandishi wa Habari
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JOHN BARNES ATUA TANZANIA, AKABIDHIWA JEZI YA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top