Mshambuliaji wa Urenom Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Latvia kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Kombe la Dunia 3018 Urusi. Pamoja na kufunga mabao mawili moja kwa penalti, Ronaldo pia alikosa penalti wakati mabao mengine ya Ureno yalifungwa na William Carvalho na Bruno Alves wakati la Latvia lilifungwa na Arturs Zjuzins PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA charges Tonali over alleged betting rules breaches
-
The Football Association charges Newcastle United midfielder Sandro Tonali
with misconduct in relation to alleged breaches of the governing body's
betting ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment