Mshambuliaji wa Urenom Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Latvia kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Kombe la Dunia 3018 Urusi. Pamoja na kufunga mabao mawili moja kwa penalti, Ronaldo pia alikosa penalti wakati mabao mengine ya Ureno yalifungwa na William Carvalho na Bruno Alves wakati la Latvia lilifungwa na Arturs Zjuzins PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville names a VERY different top five Premier League midfielders to
'biased' Jamie Carragher
-
Gary Neville and Jamie Carragher don't often see eye-to-eye and that was
apparent with the pair naming their greatest-ever Premier League
midfielders.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment