Winga mwenye umri wa miaka 32 wa Bayern Munich, Arjen Robben akimtungua kipa Ralph Schon wa Luxembourg kuifungia Uholanzi bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi Uwanja wa Josy Barthel mjini Luxembourg. Mabao mengine ya Uholanzi yote yalifungwa na Memphis Depay, wakati la Luxembourg lilifungwa na Maxime Chanot kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zach Wilson to Wear No. 10 Broncos Jersey After Trade from Jets
-
Quarterback Zach Wilson will have a new number to accompany his fresh start
with the Denver Broncos. The Broncos finalized the jersey numbers for their…
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment