Kocha wa Yanga SC, Mholanzi, Hans van der Pluijm akimpa mazoezi mepesi mshambuliaji wake, Donald Ngoma aliyekuwa majeruhi leo kwenye Uwanja wa sekondari ya Garanosi mjini Tanga wakati wakijiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji African Sports keshokutwa Uwanja wa Mkwakwani mjini humo
Kutoka kulia Deus Kaseke, Matheo Anthony na Vincent Bossou |
Simon Msuva (katikati) akimlamba chenga Vincent Bossou (kushoto) |
Kutoka kulia Amissi Tambwe, Bossou, Mbuyu Twite, Kevin Yondan na wengine |
Wachezaji wa Yanga wakikimbia kwa pamoja katika mazoezi ya awali ya kuamsha misuli |
0 comments:
Post a Comment