• HABARI MPYA

    Thursday, December 31, 2015

    RONALDO APIGA MBILI, AKOSA PENALTI REAL YAUA 3-1 LA LIGA

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kukosa penalti katika mchezo wa La Liga dhidi ya Real Sociedad usiku wa leo. Hata Ronaldo alifunga mabao mawili baadaye moja kwa penalti, Real ikishinda 3-1 Uwanja wa Bernabeu, bao lingine akifunga Lucas Vazquez wakati la Sociedad limefungwa na Lucas Vazquez  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO APIGA MBILI, AKOSA PENALTI REAL YAUA 3-1 LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top