• HABARI MPYA

    Monday, December 28, 2015

    AIRETEL MKWANJIKA YAZIDI KUNUFAISHA WATU, WENGINE 28 WALAMBA MKWANJA

    Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (kushoto) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa kuendesha droo ya pili ya promosheni ya Airtel Mkawnjika, ambayo washindi 28 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Wanaoshuhudia ni Msimamizi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini, Mrisho Milao (katikati) na Ofisa Masoko wa Airtel, Rebecca Mauma (kulia)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AIRETEL MKWANJIKA YAZIDI KUNUFAISHA WATU, WENGINE 28 WALAMBA MKWANJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top