• HABARI MPYA

    Thursday, December 31, 2015

    MESSI AIFUNGIA BARCA AKICHEZA MECHI YA 500, SUAREZ APIGA MBILI...REAL YAFA 4-0

    Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akipongezwa na wachezaji wenzake usiku huu baada ya kufunga akiichezea mechi ya 500 timu hiyo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez mawili na Heiko Westermann aliyeuwahi mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani baada ya mkwaju wa penalti wa Neymar, ambaye pia alifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI AIFUNGIA BARCA AKICHEZA MECHI YA 500, SUAREZ APIGA MBILI...REAL YAFA 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top