Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akipongezwa na wachezaji wenzake usiku huu baada ya kufunga akiichezea mechi ya 500 timu hiyo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez mawili na Heiko Westermann aliyeuwahi mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani baada ya mkwaju wa penalti wa Neymar, ambaye pia alifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes gets emotional after a reporter praises his dedication to
Man United... as his tireless performance against Liverpool leads the Red
Devils to a triumphant 4-3 win in the FA Cup
-
Fernandes got visibly emotional when praised by a reporter for his
dedication to Man United after their dramatic 4-3 FA Cup quarter-final win
over Liverpool .
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment