Mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale (katikati) akiifungia timu yake katika mchezo wa La Liga dhidi ya Rayo Vallecano jioni ya leo. Real imeshinda 10-2, Bale akifunga mabao manne dakika za 25, 41,61 na 70, mengine yakifungwa na Danilo Luiz da Silva dakika ya tatu, Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 30, 53 na Karim Benzema matatu dakika za 48, 79 na 90, wakati ya Rayo Vallecano yamefungwa na Antonio Amaya dakika ya 10 na Jozabed Sanchez Ruiz dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment