• HABARI MPYA

    Thursday, December 31, 2015

    AZAM FC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA CHAMAZI

    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akijaribu kufumua shuti langoni mwa Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
    Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbangu akimiliki mpira mbele ya beki wa Mtibwa Sugar, Issa Rashid 'Baba Ubaya'
    Beki wa Mtibwa Sugar,Andrew Vincent akipambana na mshambuliaji wa Mtibwa Sugar
    Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche (kulia) akiwatoka wachezaji wa Mtibwa
    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akipasua katikati ya wachezaji wa Mtibwa Sugar
    Kikosi cha Azam FC jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top