Alexis Sanchez akiifungia Inter Milan bao la pili kwa penalti dakika ya 20 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Brescia kwenye mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milan, Mabao mengine ya Inter Milan yalifungwa na Ashley Young dakika ya tano, Danilo D'Ambrosio dakika ya 45, Roberto Gagliardini dakika ya 52, Christian Eriksen dakika ya 83 na Antonio Candreva dakika ya 88 na kwa ushindi huo, timu ya kocha Antonio Conte inafikisha pointi 64, ingawa inabaki nafasi ya tatu, sasa ikizidiwa pointi nne na Lazio, wakiwa nyuma ya Juventus inayoongoza kwa pointi zake 72 baada ya wote kucheza mechi 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Pogba 'cameo of three months of brilliance' can fire Manchester United to title says Neville
-
The Frenchman has fought his way back into the team recently and is
beginning to perform well for Ole Gunnar Solskjaer's side. And Neville
thinks he has th...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment