Nahodha Sergio Ramos akikimbia kishujaa kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid kwa penalti dakika ya 79 kufuatia Dani Carvajal kuangushwa na Mathias Olivera kwenye boksi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stéfano. Kwa ushindi huo, Real Madrid wanafikisha pointi 74 sasa wakiwazidi pointi nne, mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 33, wakati Getafe inabaki nafasi ya sita na pointi zake 52 za mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Life-changing tech for fans at Motherwell and Crystal Palace, Premier
League club axe Christmas party - and why the EFL are probing Blackburn:
INSIDE SPORT
-
While Motherwell's routine 3-0 SPL victory over Livingston may not have
been of huge significance to those other than the 5,683 present - it is a
match Jon...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment