SIMBA SC WAWASILI MTWARA TAYARI KUWAVAA NDANDA SC KWENYE MECHI YA LIG KUU JUMAPILI NANGWANDA
Mshambuliaji Mganda wa Simba SC, Meddie Kagere akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Ndanda SC Jumapil Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini humo
Kiungo Mzambia wa Simba SC, Clatous Chama akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo
Kiungo kutoka Msumbiji, Luis Miquisone akipenya kwenye umat wa mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo
Die jüngsten Torschützen kommen aus Dortmund
-
In einem packenden Spiel lag der VfB bei den „Expected-Goals“ mit 1,65 zu
1,34 knapp vorn. Der BVB gab mehr Torschüsse ab (18:13) und jubelte über
zwei Pre...
Rwanda condoles UK over death of Prince Philip
-
Rwanda has joined the rest of the world to send messages of solidarity to
the United Kingdom following the death of Prince Philip, the Duke of
Edinburgh...
Guber election. Bauchi students endorse pate
-
Paul Orude, Bauchi Coalition of Bauchi State Students and Youths Movement
has endorsed Dr Muhammad Ali Pate of the People’s Democratic Party (PDP)
for ...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment