Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 29 ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Manchester City leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza la Manchester United lilifungwa na Marcus Rashford kwa penalti dakika ya 23 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bernardo Silva, wakati la Man City limefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA fines Nuggets coach David Adelman $35K for erupting at officials,
ejection in loss to Rockets
-
David Adelman charged at an official and screamed, “You are f***ing
terrible, man!” loud enough to be heard clearly on the broadcast on
Saturday night.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment