Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 29 ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Manchester City leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza la Manchester United lilifungwa na Marcus Rashford kwa penalti dakika ya 23 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bernardo Silva, wakati la Man City limefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Vincent Kompany called referee Darren England a 'f*****g cheat'
multiple times in furious tirade at official after he gave Chelsea a
penalty against Burnley in 2-2 draw last month
-
EXCLUSIVE BY MIKE KEEGAN: Kompany was fined £10,000 and handed a two-match
touchline ban - with one of the games suspended - following the explosive
outbur...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment