• HABARI MPYA

    Thursday, December 12, 2019

    KOCHA MPYA SIMBA SC NI 'BWANA MDOGO' TU ANAZIDIWA UMRI HADI NA MSAIDIZI WAKE, MATOLA

    Afisa Habari wa klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara akiwa na kocha mpya Mbelgiji, Sven Ludwig Vandenbroeck mwenye umri wa miaka 40 baada ya kuwasili nchini jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuachana na timu ya taifa ya Zambia.  Vandenbroeck aliyezaliwa Septemba 22 mwaka 1979 mjini Vilvoorde, Ubelgiji anazidiwa mwaka mmoja na msaidizi wake, Suleiman Matola aliyezaliwa Aprili 24 mwaka 1978 mjini Kigoma
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA MPYA SIMBA SC NI 'BWANA MDOGO' TU ANAZIDIWA UMRI HADI NA MSAIDIZI WAKE, MATOLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top