Afisa Habari wa klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara akiwa na kocha mpya Mbelgiji, Sven Ludwig Vandenbroeck mwenye umri wa miaka 40 baada ya kuwasili nchini jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuachana na timu ya taifa ya Zambia. Vandenbroeck aliyezaliwa Septemba 22 mwaka 1979 mjini Vilvoorde, Ubelgiji anazidiwa mwaka mmoja na msaidizi wake, Suleiman Matola aliyezaliwa Aprili 24 mwaka 1978 mjini Kigoma
Jurgen Klopp breaks silence on Arne Slot's impending move to Liverpool as
outgoing Anfield boss calls role 'the best job in the world' ahead of his
emotional exit
-
LEWIS STEELE: Mail Sport understands that Liverpool and the Feyenoord boss
are in advanced negotiation stages and a deal for Slot to join the club
could be...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment