• HABARI MPYA

    Sunday, December 08, 2019

    SANCHO APIGA MBILI DORTMUND YASHINDA 5-0 BUNDESLIGA

    Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika ya 63 na 74 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Fortuna Dusseldorf kwenye mchezo wa Bundesliga jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao mengine yalifungwa na Marco Reus mawili pia dakika za 42 na 70 na Thorgan Hazard dakka ya 58 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHO APIGA MBILI DORTMUND YASHINDA 5-0 BUNDESLIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top