Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika ya 63 na 74 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Fortuna Dusseldorf kwenye mchezo wa Bundesliga jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao mengine yalifungwa na Marco Reus mawili pia dakika za 42 na 70 na Thorgan Hazard dakka ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta admits Arsenal need the 'leadership' of teenage sensation Bukayo Saka
-
Saka's goal in Arsenal's 3-1 win over Southampton on Tuesday night was his
fifth in the Premier League this season - more than all other teenagers in
the d...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment