Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika ya 63 na 74 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Fortuna Dusseldorf kwenye mchezo wa Bundesliga jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao mengine yalifungwa na Marco Reus mawili pia dakika za 42 na 70 na Thorgan Hazard dakka ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jesse Lingard opens up on escaping the 'noise' of Manchester for South
Korea, eating LIVE octopus - and gives update on his future
-
When Jesse Lingard ditched England for a 5,000 mile switch to South Korea
in February 2024, it's fair to say that an eyebrow - or two - was raised.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment