Wachezaji wa Arsenal wakirejea katikati kinyonge baada ya kuruhusu bao wakichapwa 2-1 na Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao ya Brighton yalifungwa na Adam Webster dakika ya 36 na Neal Maupay dakika ya 80, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment