Wachezaji wa Arsenal wakirejea katikati kinyonge baada ya kuruhusu bao wakichapwa 2-1 na Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao ya Brighton yalifungwa na Adam Webster dakika ya 36 na Neal Maupay dakika ya 80, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hibs' season has yet to take off but all is not lost. A win over bitter
rivals Hearts in the derby could provide the boost they so desperately need
-
Much of the chat ahead of this scrappy, low-quality 1-1 draw at Tannadice
centred around Hibs' lack of statement wins this season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment