Wachezaji wa Arsenal wakirejea katikati kinyonge baada ya kuruhusu bao wakichapwa 2-1 na Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao ya Brighton yalifungwa na Adam Webster dakika ya 36 na Neal Maupay dakika ya 80, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp hopeful Mohamed Salah will stay at Liverpool for a long time
-
Giving an interview with Spanish newspaper AS in December, Salah described
Real Madrid and Barcelona as 'two top clubs' and added 'who knows what will
happ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment