• HABARI MPYA

    Sunday, November 11, 2018

    USYK AMUANGUSHA 'MZIMA MZIMA' BELLEW RAUNDI YA NANE NA KUSHINDA KWA KO

    Bondia Oleksandr Usyk wa Ukraine akimtazama mpinzani wake, Muingereza Tony Bellew baada ya kumuangusha chini Usyk katika raundi ya nane na kushinda kwa Knockout (KO) kwenye pambano la uzito wa Cruiser Uwanja wa Manchester Arena usiku wa jana 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: USYK AMUANGUSHA 'MZIMA MZIMA' BELLEW RAUNDI YA NANE NA KUSHINDA KWA KO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top