Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 32 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London leo. Morata pia alifunga bao la pili dakika ya 65 kabla ya Mspaniola mwenzake, Pedro kufunga la tatu dakika ya 70, wakati bao la Palace limefungwa na Andros Townsend dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man Utd face up to 'massive' loss of injured Fernandes
-
Manchester United's injury problems worsened as captain and talisman Bruno
Fernandes was replaced in a 2-1 defeat by Aston Villa.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment