Marco Reus akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Borussia Dortmund dakika za 49 kwa penalti na 67 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Bayern Munich kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund, Ujerumani.
Bao la tatu lilifungwa na Paco Alcácer dakika ya 73, wakati ya Bayern Munich yote yalifungwa na Robert Lewandowski dakika za 26 na 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bao la tatu lilifungwa na Paco Alcácer dakika ya 73, wakati ya Bayern Munich yote yalifungwa na Robert Lewandowski dakika za 26 na 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment