• HABARI MPYA

    Sunday, November 11, 2018

    MABAO YA SALAH NA SHAQIRI, LIVERPOOL YAICHAPA 2-0 FULHAM

    Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool dakika ya 41 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao la pili lilifungwa na Xherdan Shaqiri dakika ya 53 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABAO YA SALAH NA SHAQIRI, LIVERPOOL YAICHAPA 2-0 FULHAM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top