Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 80 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Bao la kwanza lilifungwa na Saul Niguez dakika ya 33 akimalizia pasi ya Filipe Luis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brandon Coleman NFL Draft 2024: Scouting Report for Washington Commanders OT
-
HEIGHT: 6'5" WEIGHT: 313 HAND: 10¾" ARM: 34⅝" WINGSPAN: 84" 40-YARD DASH:
4.99 3-CONE: 7.40 SHUTTLE: 4.62 VERTICAL: 34" BROAD: 9'6" POSITIVES —
Wide-bodied,…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment