• HABARI MPYA

    Wednesday, November 07, 2018

    GRIEZMANN AFUNGA LA PILI ATLETICO MADRID YAICHAPA 2-0 BORUSSIA DORTMUND

    Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 80 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Bao la kwanza lilifungwa na Saul Niguez dakika ya 33 akimalizia pasi ya Filipe Luis 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GRIEZMANN AFUNGA LA PILI ATLETICO MADRID YAICHAPA 2-0 BORUSSIA DORTMUND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top