Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 80 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Bao la kwanza lilifungwa na Saul Niguez dakika ya 33 akimalizia pasi ya Filipe Luis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bullets, condoms and fluffy handcuffs by the swimming pool, casino chips
spilling out of fast cars, pole dancers, illicit affairs - and nightly £115
pizzas: Confessions of the man who babysat top Premier League stars
-
DAILYMAIL+ BEST OF 2025: When you work with footballers nothing much
surprises you. Finding spent machine gun bullets in the garden of one of
your club's t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment