Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 10 na 37 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Viktoria Plzen kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya na kufikisha mabao 200 ya kuifungia klabu hiyo. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Casemiro dakika ya 23, Gareth Bale dakika ya 40 na Toni Kroos dakika ya 67 Uwanja wa Doosan Arena mjini Plzen PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Robertson dead at 72: Tributes pour in as legendary ex-Nottingham
Forest and Scotland star passes away
-
Robertson was part of the iconic Forest side which won the First Division
and two European Cups among other trophies under Brian Clough in the 1970s
and '80s.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment