• HABARI MPYA

    Friday, October 19, 2018

    VAN DIJK NA SALAH MAZOEZINI LIVERPOOL IKIJIANDAA NA MECHI

    Beki Mholanzi Virgil van Dijk (kushoto) na mshambuliaji Mmisri Mohamed Salah wakiwa mazoezini na wachezaji wenzao wa Liverpool baada ya kurejea kutoka kwenye timu za taifa wakijiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kesho Uwanja wa The John Smith 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VAN DIJK NA SALAH MAZOEZINI LIVERPOOL IKIJIANDAA NA MECHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top