Karim Benzema na Gareth Bale wakisikitika baada ya Real Madrid kupoteza tena mechi kufuatia kufungwa nyumbani, Uwanja wa Santiago Bernabeu mabao 2-1 na Levante katika mchezo wa La Liga leo. Mabao ya Levante yamefungwa Jose Luis Morales dakika ya sita na Roger Marti dakika ya 13 kwa penalti kabla ya Marcelo kuifungia Real Madrid la kufutia machozi dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment