Wachezaji wa Manchester United, Paul Pogba, Anthony Martial na Romelu Lukaku wakiwasili katika hoteli ya Hilton jana jirani kabisa na Uwanja wa Old Trafford kuweka kambi ya kujiandaa na mchezo wao wa leo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Juventus kuhofia kupigwa faini na UEFA tena baada ya kuchelewa uwanjani katika mchezo dhidi ya Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment