• HABARI MPYA

    Sunday, October 28, 2018

    PENALTI MBILI ZAIKOSESHA USHINDI ARSENAL, YATOA SARE 2-2 NA PALACE

    Mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Arsenal, Alex Iwobi na Matteo Guendouzi katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park mjini London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Granit Xhaka dakika ya 51 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 56, wakati ya Palace yalifungwa na Luka Milivojevic yote kwa penalti dakika za 45 na 83 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PENALTI MBILI ZAIKOSESHA USHINDI ARSENAL, YATOA SARE 2-2 NA PALACE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top