Mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Arsenal, Alex Iwobi na Matteo Guendouzi katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park mjini London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Granit Xhaka dakika ya 51 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 56, wakati ya Palace yalifungwa na Luka Milivojevic yote kwa penalti dakika za 45 na 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana winger Fatawu Issahaku disappointed after Leicester FA Cup exit
-
Abdul Fatawu Issahaku has expressed disappointment following Leicester
City's FA Cup exit after a late defeat to Chelsea at Stamford Bridge. The
20-year-o...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment