• HABARI MPYA

    Sunday, October 28, 2018

    POGBA AFUNGA LA KWANZA, ASETI LA PILI MAN UNITED YAICHAPA EVERTON 2-1

    Paul Pogba na Anthony Martial wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1wa Manchester United dhidi ya Everton leo Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Pogba alifunga bao la kwanza dakika ya 27 akimalizia mpira uliorudi baada ya Jordan Pickford kuokoa mkwajue wake wa penalti kabla ya kumpasia Martial kufunga la pili dakika ya 49, wakati la Everton limefungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti pia dakika ya 77  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: POGBA AFUNGA LA KWANZA, ASETI LA PILI MAN UNITED YAICHAPA EVERTON 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top