Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Marseille kwenye mechi ya mahasimu wa Ligue 1, Ufaransa maarufu kama Le Classique usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille. Bao la pili la PSG limefungwa na Julian Draxler dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment