• HABARI MPYA

    Saturday, October 27, 2018

    RONALDO AFUNGA MABAO MAWILI JUVE YASHINDA 2-1

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus dakika za 54 kwa penalti na 70 wakitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Empoli kwenye mchezo wa Serie A leo Uwanja wa Carlo Castellani mjini Empoli 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA MABAO MAWILI JUVE YASHINDA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top