• HABARI MPYA

    Thursday, October 25, 2018

    BILA MESSI, BARCELONA YAICHAPA INTER MILAN 2-0 CAMP NOU

    Rafinha (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 32 kabla ya Jordi Alba kufunga la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Inter Milan kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barcelona jana ilimkosa nyota wake, Lionel Messi ambaye ni majeruhi 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BILA MESSI, BARCELONA YAICHAPA INTER MILAN 2-0 CAMP NOU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top