Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 63 na 66 kufuatia Mesut Ozil kufunga la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao la Leicester Arsenal walijifunga baada ya mpira uliipigwa na Ben Chilwell kumbabatiza Hector Bellerin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment