Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 63 na 66 kufuatia Mesut Ozil kufunga la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao la Leicester Arsenal walijifunga baada ya mpira uliipigwa na Ben Chilwell kumbabatiza Hector Bellerin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment