• HABARI MPYA

    Sunday, October 28, 2018

    MATOBANGO AKIWA NA MACHUPPA NA AKILIMALI BAADA YA MECHI YA KAHAMA UNITED NA SIMBA SC

    Kiungo mshambuliaji wa Kahama United, Hemed Ally ‘Matobango’ (katikati) akiwa na wachezaji wa Simba SC, Athumani Mahuppa (kushoto) na Akilimali Yahya (kulia) baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya timu hizo mwaka 2003 Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATOBANGO AKIWA NA MACHUPPA NA AKILIMALI BAADA YA MECHI YA KAHAMA UNITED NA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top