Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili DC United dakika ya nane na la penalti dakika ya 74 na kutoa pasi ya bao lingine lililofungwa na Luciano Acosta dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya New York City ambao bao lao lilifungwa na David Vill dakika ya 78 Uwanja wa Audi Field mjini Washington, District of Columbia katika Ligi ya Marekani (MLS) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment