Sadio Mane akipongezwa na Xherdan Shaqiri baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 66 na 87 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 10 na Shaqiri dakika ya 84, wakati la Cardiff limefungwa na Callum Paterson dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three transfer windows. 43 players signed. £300million blown. How
Nottingham Forest lost the plot
-
IAN HERBERT: No fewer than 43 players have arrived for close to £300m
across three transfer windows and Monday there were consequences - a
four-point deduc...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment